Nani atakayepata nafasi ya kuiongoza Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya katika kinyan'ganyiro cha kuwania nafasi hiyo? Ursula von der Leyen anatetea nafasi yake lakini je kuna mgombea mwengine? Wakati ...
Radio France Internationale: Rais wa Tanzania Samia Suluhu awafutakazi Mkuu wa Wilaya ya Morogoro na mkurugenzi
Rais wa Tanzania Samia Suluhu awafutakazi Mkuu wa Wilaya ya Morogoro na mkurugenzi
BBC: Akili bandia (AI) inaweza kuchukua nafasi za kazi milioni 300 - ripoti
Teknolojia ya akili bandia (AI) inaweza kuchukua nafasi za kazi za kudumu sawa na milioni 300, ripoti ya benki ya uwekezaji Goldman Sachs inasema. Inaweza kuchukua nafasi karibu robo ya kazi nchini ...
Akili bandia (AI) inaweza kuchukua nafasi za kazi milioni 300 - ripoti
BBC: Huenda Binadamu wakapoteza nafasi zao za kazi kutokana na ukuaji wa akili Bandia
Huenda Binadamu wakapoteza nafasi zao za kazi kutokana na ukuaji wa akili Bandia
BBC: Waridi wa BBC: Mfahamu Mkuu wa Wilaya ya Temeke Tanzania Jokate Mwegelo
Jokate Mwegelo ni mwanamke mwenye umri wa miaka 34 na licha ya umri wake mdogo ni mkuu wa Wilaya ya Temeke , iliyopo Dar es Salaam Tanzania. Mbali na hilo pia ni mmoja ya wanawake waliofanikiwa katika ...
Waridi wa BBC: Mfahamu Mkuu wa Wilaya ya Temeke Tanzania Jokate Mwegelo
Rais wa baraza la Umoja wa Ulaya Charles Michel amesema kuwa viongozi wa umoja huo bado hawajafikia uamuzi kuhusu muhula wa pili kwa Ursula von der Leyen kuhudumu kama Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja ...
Tangu kuanza kwa mapinduzi ya viwanda, kumekuwa na vitisho kwamba mashine mpya kutoka kwa mitambo kubwa ya kufanya kazi kwenye kompyuta mpaka kwenye kifaa kidogo cha microchip inaweza kupelekea ...